Showing posts with label SINTA. Show all posts
Showing posts with label SINTA. Show all posts
02 August 2013
SINTAH "SISI MASTAA WENYE MASTERS DEGREE HATUWEZI PIGIZANA KELELE NA MASHOROKO MEGENI
Sintah leo kaja na haya : jisomee mwenyewe
"Ukifungua gazeti la babkubwa toleo jipya ,kurasa ya katikati shurti utakutana na kichwa cha habari MASTAA Ambao shule imelala kichwani, seriously kuna siku mdau alinitumia comment maana mimi na magazeti ni hasi na chanya,
kilichoandikwa ni ukweli mutupu jamani khaaa sasa mtu mwenye MA apigizane kelele na mashoroko mageni aaaah wapiii??
20 July 2013
BAADA YA MANGE KUMUANDIKA SINTAH-SINTAH NAE JANA KAJIBU HAYA HAPA CHINI
IJUMAA YA MAJANGA
Naombeni niwaambie binafsi mimi nipo pouwa kabisa, na sijachukua mkopo popote na huyo aliosema nimechukua mkopo naomba atoe hizo documents ili nyie wawadau wetu mjue kama ni kweli ama sikweli , mengine me naona ni kawaida binaadamu anaongea yake
04 May 2013
Sinta Amrudia Mage Kinambi Sasa Hii Ndio Kali Mazee!!
Naomba msinitumie comment lenye jina la Mangi sina pse
ndo maana mnaona nina bana comments si bani ila sitaki kutibu vichaa waliotoka milembe wasiojijua
imagine mtu asiye na mama wala baba wala ndugu anitukane? yeye anaharibikiwa ama mimi???
haaaaa sitomjibu muache ajaze kurasa ktk blog sina habari wala muda wa kujibu sijuwi sina mdhamini nyie wenyewe mnaona hapo chini na swala la my mum
ndo maana mnaona nina bana comments si bani ila sitaki kutibu vichaa waliotoka milembe wasiojijua
imagine mtu asiye na mama wala baba wala ndugu anitukane? yeye anaharibikiwa ama mimi???
haaaaa sitomjibu muache ajaze kurasa ktk blog sina habari wala muda wa kujibu sijuwi sina mdhamini nyie wenyewe mnaona hapo chini na swala la my mum
30 March 2013
HUU ndo UGOMVI MKUBWA KATI ya SINTAH na MANGE KIMAMBI,JIONEE MWENYEWE MAMBO YALIVYO
![]() |
| SINTAH |
08 January 2013
SINTAH AMESEMA........KUVAA KHANGA MSIBANI ni USHAMBA KWA WANAWAKE ,ASEMA WAVAE KAMA YEYE ALIVYO VAA MSIBA WA SAJUKI. Angalia PICHA ALIVYO VAA
YE ANATAKA WANAWAKE WAVAE HIVI KAMA YEYE ALIVYO VAA
HIVI NDIVYO ALIVYO ANDIKA KATIKA TOVUTI YAKE KUHUSU WANAWAKE KUVAA KHANGA KWENYE MISIBA,
Labels:
SINTA
09 October 2012
RAIA WAMJIA JUU SINTA...WASEMA ANAMUOGOPA WEMA SEPETU ANAWASEMA WENGINE.SOMA WALIVYO ANDIKA.
WANANCHI WAMEMJIA JUU SINTA BAADA YA KUONA ANAANIKA MAOVU YA BAADHI YA WASANII NA KUWAACHA WENGINE WAKIDHANI KUWA ANAWAOGOPA.
HAYA NI BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA KATIKA TOVUTI YAKE
Labels:
SINTA
02 October 2012
MATUSI ya SINTAH KWA WANAOTUMIA FACEBOOK .
SINTAH au Jlo wa bongo amewadharau watu wanaotumia mtandao wa faceboo kwa kusema maneno yafwatayo katika website yake.
"facebook imebaki watoto wa o’level,
mabeki tatu na wacheza mdako. groove yaself to the matured level of
social media"
Labels:
SINTA
26 September 2012
Alichoandika Sinta Kwenye Website Yake

i dont deal with people who have un-sustainable career uwiiii the whole of me the lope lope of all trades haaaaa,
usisihindane na mimi maana i have got three career hata kama sifanyi moja ninakula je yeye mwenzangu mguu ukivunjika kuna kitu tena???
MA International relations and Diplomacy as well as queen wa entertainment industry sasa kazi kwako wewe kinuka mkojo
usitukane mamba na bado unapiga simu post itolewe hapa hakitoki kitu ulianza na mimi namaliza" Sinta
Labels:
SINTA
Subscribe to:
Posts (Atom)



