Showing posts with label MANGE KIMAMBI. Show all posts
Showing posts with label MANGE KIMAMBI. Show all posts

03 August 2013

MANGE KIMAMBI "SIWAELEWAGI WATU WANAO HAMIA NYUMBA YA KUPANGA ETI ANAFANYA NA HOUSE WARMING PARTY"

Uwii mnaniombaje niwape tour of my house? lol

Poleni wapenzi.......

We officially bought our house 2 weeks ago. We are starting remodelling

sometime this month.....Soon as i move into my OWN house then ntawapa tour....

02 August 2013

MANGE KIMAMBI "NIKIJA BONGO LAZIMA NIVAE HELMENT YA KUZUIA TINDIKALI


 
 
"Duh Bongo pamechafuka aiseeee......

Nafuu yake ana pesa za kukodi private jet to SA within 1 hr ya kumwagiwa tindikali...

Maana angetibiwa bongo yawezekana ange poteza macho yake yote mawili......
Duh... Inatisha sana....

20 July 2013

BEEF YA MANGE KIMAMBI NA SINTAH HII HAPA (PARTY ONE)


Haya yaliandikwa Tarehe 18 July na Mange Kimambi ndio yaliyo sababisha website yake kucrush kwa jinsi watu walivyoingia wengi kwa mara moja kwenye hiyo website...Haya jisomee Mwenyewe Gazeti hilo Hapo chini:

Uwii na yangu isije crush ..Slow down 

UKWELI WA MAMBO........


"I had a busy day leo mpaka basi ndo maana mnaona sikuapprove comments zenu. I was just sooooo busy...... Ila sasa hivi nimetulia nipo ndani ya ndege na familia yangu tukielea L.A. Ndo nkona niblogue sasa.

01 May 2013

Mange Kimambi Aanika Ugomvi wake na Rachel Temu Mdogo wa Hoyce Temu Kwenye Mtandao

Uwiii nisameheni jamani, najua this week nimekuwa mswazi kupitiliza... Jamani huyu ndo wamwisho.... Wanasemaga save the best for last....
Yani kati ya ya watu wanaonifyatilia issue zangu nawachunia huyu ndo number moja. Alafu hachoki miaka na miaka.


Anayway to cut the story short, rachel alinikosea back in 2008 ila

01 April 2013

Mange Kimambi Afungua Kiwanda cha Nguo Dar

ONE OF MY BIGGEST DREAMS IS FINALLY COMING TRUE.

I HAVE ALWAYS DREAMT OF SETTING UP A HUGE BONGOLICIOUS PRODUCTION FACTORY IN TANZANIA.

ALTHOUGH THIS IS

30 March 2013

MAAJABU.....MANGE KIMAMBI AONYESHA PESA ZAKE ALIZO ZZIPATA ARUSHA KWA KUZITANDAZA KITANDANI ILI KUWARINGISHIA MAADUI ZAKE.

 
 Mange Alikuwa Arusha Ambapo Alipeleka Vitu vya Kuuza Kutoka Ulaya Hizo ndio Picha na Maneno aliyoandika kwenye Website yake..........

HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA....
"NYIE WALALA HOI MIE SIHESABU MATUSI NAHESABU MAHELAAAAAAAA...

MKIMALIZA KUTUKANA NJOONI NIWAPE AJIRA.

Comments system

Disqus Shortname