Uwii mnaniombaje niwape tour of my house? lol
Poleni wapenzi.......
We officially bought our house 2 weeks ago. We are starting remodelling
sometime this month.....Soon as i move into my OWN house then ntawapa tour....
Showing posts with label MANGE KIMAMBI. Show all posts
Showing posts with label MANGE KIMAMBI. Show all posts
03 August 2013
02 August 2013
MANGE KIMAMBI "NIKIJA BONGO LAZIMA NIVAE HELMENT YA KUZUIA TINDIKALI
Nafuu yake ana pesa za kukodi private jet to SA within 1 hr ya kumwagiwa tindikali...
Maana angetibiwa bongo yawezekana ange poteza macho yake yote mawili......
Duh... Inatisha sana....
20 July 2013
BEEF YA MANGE KIMAMBI NA SINTAH HII HAPA (PARTY ONE)
Haya yaliandikwa Tarehe 18 July na Mange Kimambi ndio yaliyo sababisha website yake kucrush kwa jinsi watu walivyoingia wengi kwa mara moja kwenye hiyo website...Haya jisomee Mwenyewe Gazeti hilo Hapo chini:
Uwii na yangu isije crush ..Slow down
UKWELI WA MAMBO........
"I had a busy day leo mpaka basi ndo maana mnaona sikuapprove comments zenu. I was just sooooo busy...... Ila sasa hivi nimetulia nipo ndani ya ndege na familia yangu tukielea L.A. Ndo nkona niblogue sasa.
01 May 2013
Mange Kimambi Aanika Ugomvi wake na Rachel Temu Mdogo wa Hoyce Temu Kwenye Mtandao
Uwiii
nisameheni jamani, najua this week nimekuwa mswazi kupitiliza... Jamani
huyu ndo wamwisho.... Wanasemaga save the best for last....
Yani kati ya ya watu wanaonifyatilia issue zangu nawachunia huyu ndo number moja. Alafu hachoki miaka na miaka.
Anayway to cut the story short, rachel alinikosea back in 2008 ila
Yani kati ya ya watu wanaonifyatilia issue zangu nawachunia huyu ndo number moja. Alafu hachoki miaka na miaka.
Anayway to cut the story short, rachel alinikosea back in 2008 ila
06 April 2013
01 April 2013
Mange Kimambi Afungua Kiwanda cha Nguo Dar
ONE OF MY BIGGEST DREAMS IS FINALLY COMING TRUE.
I HAVE ALWAYS DREAMT OF SETTING UP A HUGE BONGOLICIOUS PRODUCTION FACTORY IN TANZANIA.
ALTHOUGH THIS IS
30 March 2013
MAAJABU.....MANGE KIMAMBI AONYESHA PESA ZAKE ALIZO ZZIPATA ARUSHA KWA KUZITANDAZA KITANDANI ILI KUWARINGISHIA MAADUI ZAKE.
Mange Alikuwa Arusha Ambapo Alipeleka Vitu vya Kuuza Kutoka Ulaya Hizo
ndio Picha na Maneno aliyoandika kwenye Website yake..........
HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA....
"NYIE WALALA HOI MIE SIHESABU MATUSI NAHESABU MAHELAAAAAAAA...
MKIMALIZA KUTUKANA NJOONI NIWAPE AJIRA.
HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA....
"NYIE WALALA HOI MIE SIHESABU MATUSI NAHESABU MAHELAAAAAAAA...
MKIMALIZA KUTUKANA NJOONI NIWAPE AJIRA.
Subscribe to:
Posts (Atom)






