Wadau mbalimbali nao walimpongeza Johari kwa hatua hiyo huku wengine wakihoji imekuwaje kimyakimya?
Showing posts with label JOHARI. Show all posts
Showing posts with label JOHARI. Show all posts
03 August 2013
JOHARI AVAA PETE YA NDOA,IRENE UWOYA AMPONGEZA
MSANII wa filamu za Bongo, Irene Uwoya amempongeza staa mwenzake,
Blandina Chagula ‘Johari’ kwa kutumbukiza picha kwenye Instagram
ikimuonesha amevaa pete ya ndoa kwenye kidole husika.
Uwoya, baada ya kuona picha hiyo akatupia ujumbe wake akisema: Hongera mama kwa kupata mwenzako…maaama h.
Wadau mbalimbali nao walimpongeza Johari kwa hatua hiyo huku wengine wakihoji imekuwaje kimyakimya?
Wadau mbalimbali nao walimpongeza Johari kwa hatua hiyo huku wengine wakihoji imekuwaje kimyakimya?
Subscribe to:
Posts (Atom)