
“Nilimuuliza tufanyaje akasema send me something, Nikamtumia beat, nikamtumia kama idea flani tukatengeneza kiswahili flani hivi akapenda na ameimba kiswahili chorus nzima” Joh Makini aliiambia AyoTv. Hata hivyo Joh Makini amesema bado hajaamua itatoka lini kwasababu bado hawajashoot video.
No comments:
Post a Comment