05 January 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA TAWI JIPYA LA BENKI YA POSTA MJINI SONGEA


 Waziri Mkuu, Kassi Majaliwa, (wapili kulia), waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu, (sera, uratibu, na watu wenye ulemavu), Bi. Jenista Mhagama, na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, (wakwanza kushoto) wakikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa tawi jipya la benki hiyo mjini Songea leo Januari 4, 2015. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname