Waziri
Mkuu, Kassi Majaliwa, (wapili kulia), waziri wa nchi ofisi ya waziri
mkuu, (sera, uratibu, na watu wenye ulemavu), Bi. Jenista Mhagama, na
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba
Moshingi, (wakwanza kushoto) wakikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa
tawi jipya la benki hiyo mjini Songea leo Januari 4, 2015.
No comments:
Post a Comment