Katibu
Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema ameshangazwa na kauli ya
aliyekuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga kuwa wingi
wa makatibu wakuu unakinzana na dhana ya kupunguza ukubwa wa Serikali
alioahidi Rais John Magufuli.
No comments:
Post a Comment