05 January 2016

BREAKING NEWZZ: KIGOGO MWINGINE MKUBWA WA SERIKALI ATIMULIWA KAZI MUDA HUU

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Bw. Mohammed Kilongo na Maofisa wa Misitu wa Mikoa nchi nzima kupisha uchunguzi wa upotevu wa mapato ya Serikali.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname