Waziri
wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi
Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Bw. Mohammed Kilongo na
Maofisa wa Misitu wa Mikoa nchi nzima kupisha uchunguzi wa upotevu wa
mapato ya Serikali.
No comments:
Post a Comment