Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akisisitiza jambo
wakati alipokutana na Menejimenti ya iliyokuwa Wizara ya Uchukuzi, na wakuu wa
Taasisi zilizo chini yake, katika Ofisi za Wizara hiyo leo asubuhi. Waziri
Mbarawa amewasisitiza Viongozi hao kuwa waadilifu na kufanya kazi kwa kasi.
No comments:
Post a Comment