28 December 2015

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano aongea na Menejimenti ya iliyokuwa Wizara ya Uchukuzi na kutembelea bandari


 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akisisitiza jambo wakati alipokutana na Menejimenti ya iliyokuwa Wizara ya Uchukuzi, na wakuu wa Taasisi zilizo chini yake, katika Ofisi za Wizara hiyo leo asubuhi. Waziri Mbarawa amewasisitiza Viongozi hao kuwa waadilifu na kufanya kazi kwa kasi.
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname