Mamlaka
ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa
makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa
na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita.
Aidha,
TRA imesema imesimamisha kazi watumishi wake 35 wanaofanya kazi katika
ngazi mbalimbali, wakiwemo 27 waliokamatwa wiki hii katika Geti Namba
Tano.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment