KATIKA hali
isiyokuwa ya kawaida,jana raia wa Kenya katika jiji la Nairobi
waliandamana kupinga hali ya kukithiri kwa rushwa katika taifa hilo huku
wakipaza sauti ya kumtaka Rais wa Tanzania Dr John Magufuli kuingilia
kati suala hilo hata kama yeye sio Rais wa Taifa hilo.
Katika
maandamano hayo,Wakenya hao waliimba wimbo wa kuchoswa na kitendo cha
rushwa ambacho kimekithiri katika maeneo mengi nchini humo
Wananchi wa Nairobi - Kenya waandamana kupinga rushwa iliyokithiri. Wamtaka @MagufuliJP awe Rais wa nchi hiyo pia. pic.twitter.com/QpUFyUFdEn
— Habari Online (@habaridotonline) December 15, 2015
No comments:
Post a Comment