Kasi ya Serikali ya, Rais John Magufuli, katika kukabiliana na vitendo vya ukwepaji kodi na pia kubana matumizi yasiyo ya lazima ya fedha za umma imeibua mapya kufuatia baadhi ya watu kuanza kuhoji ni kwa nini mambo yanayofanyika sasa yalishindwa kufanyika katika miaka mitano ya mwisho ya serikali ya awamu ya nne.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment