Rais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Ujenzi na
Uchukuzi Mh. Profesa Makame Mbarawa Ikulu, ambapo amewapisha mawaziri
watano kujaza nafasi za mawaziri zilizokuwa wazi katika wizara kadhaa za
serikali ya awamu ya tano, Hafla ya kuwaapisha mawaziri hao imefanyika
leo asubuhi.(PICHA NA JOHN BUKUKU – FULLSHANGWE-IKULU)
No comments:
Post a Comment