28 December 2015

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI IKULU LEO


2
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh. Profesa Makame Mbarawa Ikulu, ambapo amewapisha mawaziri watano kujaza nafasi za mawaziri zilizokuwa wazi katika wizara kadhaa za serikali ya awamu ya tano, Hafla ya kuwaapisha mawaziri hao imefanyika leo asubuhi.(PICHA NA JOHN BUKUKU – FULLSHANGWE-IKULU)
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname