Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisalimiana na Rais wa China, Xi Jinping, wakati wa Mkutano Mkuu wa
Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum)
uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia
amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
(mwenye kitambaa cheupe) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa
Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015
jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe
Magufuli katika mkutano huo.
No comments:
Post a Comment