BREAKING NEWS: SAKATA LA UPOTEVU WA MAKONTENA WATUHUMIWA WAPANDISHWA KIZIMBANI
Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, Tiagi Masamaki
(katikati) na washitakiwa wenzake wakitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu Dar es Salaam leo mchana baada ya kusomewa mashitaka yao.
No comments:
Post a Comment