Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeanza rasmi kutekeleza Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma nchini .
Akiongea
na vyombo vya habari leo, Katibu Mkuu Hab Mkwizu amesema utekelezaji
huo umeanza rasmi Desemba, 2015 ambapo kila Mtumishi wa Umma ataweka
saini ya kiapo kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na mazingira ya
taasisi husika.
No comments:
Post a Comment