BALOZI SEIF ALI IDDI AMTEMBELEA RAIS MAGUFULI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli kulia akifurahia jambo na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya
mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Ikulu kwa ajili ya
mazungumzo.
No comments:
Post a Comment