04 December 2015

BALOZI SEIF ALI IDDI AMTEMBELEA RAIS MAGUFULI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kulia akifurahia jambo na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo. 


SOMA ZAIDI 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname