MAELEZO
DODOMA
15.11.2015
Mbunge
Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison
Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana
na uteuzi utakaoidhinishwa na
Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.
Dkt.
Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya
Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye
huwasilisha jina hilo kwa Spika wa Bunge na baadaye kupigiwa kura na Wabunge.
No comments:
Post a Comment