04 November 2015

Nelly hajaoa mpaka leo, na hii ndio sababu kubwa ya yeye kubaki bachela.


Msanii wa muziki wa HipHop Marekani, Nelly ameingia kwenye headlines za burudani baada ya interview aliyoifanya siku chache zilizopita kwenye moja ya radio shows kubwa New York, Marekani kuweka stori nyingi mitandaoni… je unafahamu kuwa Nelly ana watoto lakini hajaoa mpaka leo? sababu inayomsukuma yeye kuishi maisha hayo ni ipi?
Akiwa kwenye kipindi cha radio na Angie Martinez wa Radio Power 105.5 ya Marekani, Nelly alishare na mtangazaji huyo mambo mengi yanayohusu muziki wake pamoja na familia yake… na alipoulizwa kwa nini mpaka sasa hajaoa msanii huyo alikuwa na haya ya kusema…
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname