19 November 2015

MH. KASSIM MAJALIWA NDIYE WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


3-kassim majaliwa
Hatimaye kitendawili kimeteguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli baada ya kumteua Mh. Kassim Majaliwa Mbunge wa Ruangwa mkoa wa Lindi  na Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tamisemi anayeshughulia elimu kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname