WAGENI wa kimataifa zaidi ya 50 wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za
kuapishwa kwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli zitakazofanyika
keshokutwa jijini Dar es Salaam.
Ofisa Uhusiano wa Wizara ya Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Rosemary Malale, alisema orodha hiyo
ya wageni walioalikwa, inajumuisha mashirika ya kimataifa, mashirika ya
kikanda, wakuu nchi na mabalozi.
No comments:
Post a Comment