Aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha Demkrasia na Maendeleo (Chadema).
Na Waandishi Wetu
MAPYA!
Kuna madai kwamba, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kwa Chama cha
Demkrasia na Maendeleo (Chadema) akiungwa mkono na Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa (pichani) na viongozi wa chama hicho,
wapo kwenye mkakati mzito wa kuvuna wanachama wengi kwa ajili ya
uchaguzi ujao, Uwazi limeambiwa.
No comments:
Post a Comment