18 November 2015

KAULI YA UONGOZI WA DIAMOND PLATNUMZ KUHUSU MANENO YA ALIKIBA INSTAGRAM

Baada ya Alikiba kupost ujumbe katika Instagram akidai kuwepo na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia kwenye muziki wake na wengi kutafsiri amelalamikia kukosa tuzo za Afrima, uongozi wa Diamond aliyeshinda tuzo tatu umezungumza. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname