19 November 2015

Breaking News: Dr Tulia Ackson Mwansasu Achaguliwa Kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hichi Ndio Kilichojiri Bungeni leo Wakati wa Kumchagua Naibu Spika
Wabunge Wote 394
Wabunge waliopiga kura 369
Akidi ya wabunge wanaotakiwa 184
Wabunge Waliopo na kupiga kura 351
Kura Zilizoharibika 0
Magdalena Sakaya 101(28%)
Dr Tulia 250(71.2%)

Hivyo Tulia Amechaguliwa Kuwa Naibu Spika wa Bunge la Tano

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname