Matthew
Rycroft, Mwakilishi wa Kudumu wa Uingereza katika Umoja wa Mataifa na
Rais wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, kwa mwezi Novemba,
akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani, mara baada ya
Baraza Kuu la Usalama kumaliza kikao chake kilichojadili hali ya
Burundi, kikao ambacho pia kilipitisha azimio ambalo pamoja na mambo
mengine linamuunga mkono Rais wa Uganda Yoweri Museven ambaye
aliteuliwa na Viongozi wenzie wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa
msimamizi na mwezeshaji wa majadiliano kati ya pande zinazopinga
nchini Burundi.

No comments:
Post a Comment