17 October 2015

SIRI YAFICHUKA YA CHANZO CHA AJALI YA CHOPA ILIYO MUUA "DEO FILIKUNJOMBE"


Dar es Salaam. Mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe na wenzake watatu, akiwamo Kepteni William Silaa wamefariki dunia katika ajali ya helikopta, ambazo wataalamu wanasema husababishwa na kosa la kibinadamu la rubani.
Katibu wa Bunge, Thomas Kashilillah alisema jana kuwa walipata taarifa ya ajali hiyo na kuthibitisha kuwa watu wote wanne waliokuwa kwenye helikopta hiyo walifariki dunia.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname