17 October 2015

ORODHA YA WALIOKUFA KATIKA AJALI ILIYOMUUA FILIKUNJOMBE YUPO MWENYEKITI WA MKOA WA CHAMA CHA UPINZANI

Mwili wa Deo Filikunjombe ukitolewa Eneo la tukio baada ya kuteketea kwa Moto kufuatia ajali ya helkopta iliyotokea jana Jioni . 
Shuhuda wa ajali hiyo ambaye anamiliki kitalu cha uwindaji na kwamba game guide wao ndiye aliyeona ajali ikitokea na kuwaka moto mkubwa majira ya saa 11 na nusu jioni wakati ikitaka kutua katika airstrip yao Msegule Airstrip Na baadae kuitaarifu TAA.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname