Vilio
na majonzi vimelitawala Jimbo la Ludewa na nchi nzima kwa jumla, huku
mamia ya wakazi wa jimbo hilo lililokuwa likiongozwa na mchapakazi,
marehemu Deo Filikunjombe aliyeaga dunia Alhamisi iliyopita kwa ajali ya
helkopta iliyotokea katika Hifadhi ya Selous eneo la Msolwa mkoani
Morogoro, wamezimia kutokana na mapenzi ya dhati waliyokuwa nayo kwa
shujaa wao huyo.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment