MAMBO
yamekuwa mambo! Siku chache baada ya mzazi mwenza wa mkali wa Bongo
Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss
Lady’ kutimka Bongo na kuelekea kwake nchini Afrika Kusini ‘Sauz’, mama
mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ ameibuka na kusema hana
kinyongo na mpenzi wa zamani wa mwanaye, Wema Sepetu ‘Madam’ na
anamkaribisha nyumbani kwao muda wowote
No comments:
Post a Comment