05 October 2015

MBOWE Amlilia MTIKILA, Asema Alikua Mpiganaji Hodari!

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha mwanasiasa mkongwe katika siasa za mageuzi nchini, Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname