19 October 2015

MBOWE AFICHUA NJAMA CHAFU ZA CCM KUIBA KURA USIKU WA TAREHE 24


Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema wamegundua njama za kuiba kura zitakazofanywa na CCM usiku wa tarehe 24 kwa kupita mitaani na kugawa fedha za kura feki.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini Mbeya.   

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname