Mwenyekiti
wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema wamegundua njama za kuiba kura
zitakazofanywa na CCM usiku wa tarehe 24 kwa kupita mitaani na kugawa
fedha za kura feki.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini Mbeya.
No comments:
Post a Comment