18 October 2015
MAGUFULI AKUBALI MDAHALO, LOWASA AKATAA KUSHIRIKI
Kitendo cha Lowassa kutokuwapo katika mdahalo huo utakaofanyika kesho saa 7:30 mchana hadi saa 10 jioni, kutapunguza ushindani miongoni mwa wagombea wakuu wawili ambao wanachuana vikali katika uchaguzi unaotajwa kuwa wa kihistoria.
Dar es Salaam. Siku moja kabla ya kufanyika kwa mdahalo wa wagombea urais nchini, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema mgombea wao kupitia Chadema, Edward Lowassa hatashiriki shughuli hiyo huku CCM ikithibitisha mgombea wake, Dk John Magufuli kushiriki.
Kitendo cha Lowassa kutokuwapo katika mdahalo huo utakaofanyika kesho saa 7:30 mchana hadi saa 10 jioni, kutapunguza ushindani miongoni mwa wagombea wakuu wawili ambao wanachuana vikali katika uchaguzi unaotajwa kuwa wa kihistoria.
BOFYA HAPA KWA HABARI HII ZAIDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment