Mgombea
urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Mabatini
jijini Mwanza ambapo aliwaambia kuwa atakapochaguliwa oktoba 25
atahakikisha anawatumikia Watanzania kwa nguvu zote na kuleta maendeleo.
Mgombea
urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Buzuruga
jijini Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea Magu kwenye mkutano wa
kampeni. Hii ndio furaha ya watu wa Mwanza hata wenye taulo walijitokeza. Mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kisesa wakati akiwa njiani kuelekea Magu. Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaji Abdallah
Bulembo akitoa maelekezo kwa wapiga kura wa CCM waliojitokeza kwenye
mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Magu. Mgombea urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Magu kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Magu.
No comments:
Post a Comment