15 October 2015

KAKA WA JENERALI MWAMUNYANGE AMEAMUWA KUTOA UKWELI NA HII NDIYO TAARIFA RASMI



Na Victoria Patrick, Dar es Salaam
KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya jamii kuwa amelishwa sumu.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname