Historia!!! Ni mara ya kwanza Mkoa wa Mgombea kupokelewa na Umati mkubwa kiasi hiki!!! CCM sio Mchezo... Ni Kazi Tu
Mgombea Urais Kutoka chama cha mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli
ameweka historia katika jiji la Mwanza maarufu kama Rock City. Maelfu ya
watanzania wameonesha msimamo wao wa kumuunga mkono Mgombea wa CCM Dr.
John Pombe Magufuli.
No comments:
Post a Comment