Michuano ya Ligi ya Mabingwa
Ulaya imeendelea leo October 20 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali barani
Ulaya. Miongoni mwa mchezo uliyovuta hisia za mashabiki wengi wa soka ni mchezo kati ya
Arsenal dhidi ya
FC Bayern Munich ya
Ujerumani ambayo kabla ya mchezo huo kumalizika ilikuwa haijapoteza mechi hata moja
SOMA ZAIDI
No comments:
Post a Comment