Msafara
wa mgombea wa Urais Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kwa tiketi ya CCM
Dk. John Pombe Magufuli ukishuka kwenye kivuko cha Kamanga wilayani
Sengerema mkoani Mwanza wakati mgombea huyo alipowasili wilaya ya
Sengerema kwa ajili ya mikutano yake ya kampeni katika jimbo la Buchosa
na Geita Vijijini ambapo amewahutubia wananchi katika mikutano miwili
mikubwa ambayo imefanyika katika miji ya Nyehunge wilayani Sengerema na
Nkome mkoani Geita.
No comments:
Post a Comment