18 October 2015

BREAKING NEWZZ............NYUMBA YA JAMES MBATIA YATEKETEA KWA MOTO


Yadaiwa kuwa sababu ni hitilafu ya umeme

Nyumba ya makazi ya mwenyekiti wa chama cha NCCR-MAGEUZI,JAMES MBATIA,imeteketea kwa moto jana majira ya saa saba unusu mchana , kwa kile kilichoelezwa kuwa huenda ni hitilafu ya umeme unaosemekana kukatika asubuhi na kurejea mchana kwa kasi zaidi.
Akizungumza ,kaka wa James Mbatia FELIX KESSI,amesema hadi sasa wanachoweza kueleza ni uharibifu uliotokea kutokana na moto huo , kwani hawakuwepo wakati wa tukio , ingawa anawashukuru majirani walioweza kuokoa baadhi ya vitu vya ndani.
Amesema ni mapema mno kuzungumzia aina ya uharibifu kwani atakayeweza kujua zaidi ni mkewe na Mbatia ambae 
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname