23 September 2015

TUSKER FANYA KWELI YAWAFIKIA WAKAZI WA TEGETA NA TEMEKE WIKI HII


Mpenzi wa bia ya Tusker Bi. Naomi Mahela akizungumza na Mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) baada ya kupokea zawadi yake ya fulana, mfuko pamoja na zawadi ya bia toka kwa balozi wa bia ya Tusker Veronica Mbilinyi (kulia) pale promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani ilipofunga kambi katika kiwanja cha baa ya Family iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam. Baa hiyo iliibuka baa ya wiki kwenye promosheni hiyo inayoendeshwa na bia ya Tusker yenye lengo la kuzihamasisha baa mbalimbali za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye utoaji huduma kwa wateja. Promosheni hiyo inaendelea pia katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Moshi, Morogoro na Mbeya.

Mpenzi wa bia ya Tusker na raia wa nchi jirani ya Kenya Bw. Oliver Abanda akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Balozi wa bia hiyo Veronica Mbilinyi katika hafla ya kuipongeza baa ya Family iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam. Baa hiyo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker katika kuzihamasiha baa mbalimbali jijini Dar na mikoani pia kufanya kweli linapokuja swala la utoaji huduma kwa wateja.


 Mkazi wa Temeke Maimuna Seif akiifurahia zawadi yake ya fulana toka kwa Afisa Masoko anayejifunza kwa vitendo toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Josephat Shelukindo katika hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Kiwanjani inayodhaminiwa na bia ya Tusker toka Kampuni ya bia ya Serengeti. Promosheni hii ya Tusker imejikita katika kuziunga mkono baa mbalimbali za mitaa inayotuzunguka ili kuhakikisha kuwa zinatambulika kwa wateja wa eneo husika na kufanya kweli kwenye utaoji wa huduma


Mkazi wa Temeke Maimuna Seif akiifurahia zawadi yake ya fulana toka kwa Afisa Masoko anayejifunza kwa vitendo toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Josephat Shelukindo katika hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Kiwanjani inayodhaminiwa na bia ya Tusker toka Kampuni ya bia ya Serengeti. Promosheni hii ya Tusker imejikita katika kuziunga mkono baa mbalimbali za mitaa inayotuzunguka ili kuhakikisha kuwa zinatambulika kwa wateja wa eneo husika na kufanya kweli kwenye utaoji wa huduma..

Mfanyabiashara na Mkazi wa Tegeta, Bw. Tungalaza Andrew akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Meneja Masoko wa bia ya Tusker Nandi Mwiyombella wakati wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani wikiendi ya Ijumaa iliyofanyika katika baa ya Family iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam. Baa hiyo iliibuka baa ya wiki kwenye promosheni hiyo inayoendeshwa na bia ya Tusker toka Kampuni ya bia ya Serengeti


Mkazi wa Tegeta Kibaoni na mpenzi wa bia ya Tusker John Peter (Katikati) akifurahia jambo na Meneja Masoko wa bia ya Tusker Nandi Mwiyombella (Kulia) mara baada ya mteja huyo kupokea zawadi yake ya fulana wakati wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani katika baa ya Family iliyopo Tegeta jijini Dar es salaam. Baa hiyo iliibuka mshindi wa wiki wa promosheni hiyo ambayo inadhaminiwa na bia ya Tusker toka Kampuni ya bia ya Serengeti. (Kushoto) ni Mshereheshaji wa promosheni hiyo Gadner Habash.




No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname