29 September 2015

NOAH YAUA WATU WATANO,KUJERUHI 6 HUKO KATAVI


Watu watano wamefariki na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyokea kijiji cha Matandalani wilaya ya Mlele mkoani Katavi baada ya gari aina ya NOAH lenye namba T 451 DDP ikitokea Mpanda mjini Kuelekea Sitalike kupinduka na kuacha njia.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname