29 September 2015

MWALIMU AVAMIWA NA VIBAKA NA KUKATWA KOROMEO MCHANA KWEUPE


Mwalimu Nelson Andrew akiwa na jeraha shingoni baada ya kujeruhiwa.


UKATILI! Mwalimu Nelson Andrew (23), amevamiwa na watu wanaodaiwa kuwa ni vibaka na kumkata kwa kisu koromeo katika jaribio la kumtaka awape fedha la sivyo wangemuua. 
Akizungumza na Uwazi hivi karibuni, kaka wa mwalimu huyo, Andes Enock alisema tukio hilo lilijiri saa nane mchana wa Septemba 10, mwaka huu, wakati yeye na mjeruhiwa huyo wakipitisha biashara ya vyombo hatua chache kutoka kwenye nyumba wanayoishi.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname