17 September 2015

Mhe. Rais Kikwete awaapisha rasmi Mabalozi Mwakasege, Bundala, Kilima, Luvanda, Mbega na Shiyo


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Bi. Victoria Richard Mwakasege aliyekuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini Burundi. Balozi Victoria R. Mwakasege anaiwakilisha Tanzania nchini Malawi. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam tarehe 16 September, 2015
Balozi Mwakasege akisaini kiapo chake mbele ya Mhe. Rais Kikwete
Mhe. Rais Kikwete akimkabidhi Balozi Mwakasege vitendea kazi
SOMA ZAIDI




No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname