12 September 2015

MBASHA ,ASKOFU GWAJIMA KIMENUKA MBAYA,SIRI MPYA YAVUJA

Brighton Masalu
NI kweli kimenuka! Siku chache baada ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kujibu mapigo ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, sasa kimenuka upya, Risasi Jumamosi linakupa zaidi!
Kimenuka kwa nani? Ni kwa Emmanuel Mbasha ambaye ni mume aliyetengana na mkewe, Flora Mbasha huku mwanaume huyo akisimamia madai yake kwamba, Gwajima alisimamia mchakato mzima wa yeye na mkewe kutengana. 


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname