19 September 2015

Mambo manne mazito aliyozungumza MBOWE mchana wa leo


Mh MBOWE akizngumza na wahabari mapema leo Jijini Dar es salaam
Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umeitaka Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa tamko kuhusu kauli iliyotoleawa na mmoja wa viongozi wa CCM kuwa chama hicho hakipo tayari kuondoka ikulu hata kama kitashindwa katika uchaguzi ujao mwaka huu. 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname