Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa
Bariadi (hawapo pichani) wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Mpira wa
Halmashauri Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, kulikofanyika Mkutano wa
Kampeni zake, anazoendelea kuzifanya katika Majimbo mbali mbali ya
Uchaguzi hapa nchini. Katika ziara hiyo, Mh. Lowassa aliambatana na
Waziri Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye pamoja na Mwanasheria wa
CHADEMA, Mh. Tundu Lissu.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

No comments:
Post a Comment