16 September 2015

KAULI YA LOWASSA KUHUSU MAFISADI.., SOMA HAPA


Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amefunguka na kuwaomba Watanzania kumpa kura ambazo ameziita bakora ili awacharaze viboko watu wote wanaojihusisha na vitendo vya ufisadi nchini.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname