Muimbaji Jidenna aliyezaliwa Nigeria ambaye
kwa sasa anafanya kazi zake nchini Marekani amemuongelea msanii wa
Nigeria anaye mkubali zaidi.
Jidenna aliyepata umaarufu na wimbo wake wa ‘Classic man’ amesema anamkubali zaidi msanii Wiz Kid aliyeimba wimbo ‘Ojuelegba’ .
Jidenna aliyepata umaarufu na wimbo wake wa ‘Classic man’ amesema anamkubali zaidi msanii Wiz Kid aliyeimba wimbo ‘Ojuelegba’ .
Jidenna anasema “Napenda sauti ya Wiz Kid, napenda timu yake ya
maproducer anaofanya nao kazi, nilikuwa nao hivi karibuni, naangali
kinachokuja kati yetu “.
Jidenna na Wizkid walifanya show pamoja kwenye tamasha la Africkan Festival mwezi wa saba mwaka huu.
Jidenna na Wizkid walifanya show pamoja kwenye tamasha la Africkan Festival mwezi wa saba mwaka huu.
No comments:
Post a Comment