Mgombea urais wa vyama vinavyounda UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akipata ridhaa ya wananchi ya kuwa rais wa awamu ya tano ataunda tume ya kushughulikia na kutoa haki kwa wananchi wakiwemo wa mkoa Katavi walioathiriwa na operesheni tokomeza na wanaoendelea kukumbwa na umaskini kutokana na migogoro ya ardhi.
No comments:
Post a Comment