04 September 2015

HII NDIO AHADI KUBWA YA MH.EDWARD LOWASSA WALIYOIFURAHIA WANANCHI!!

Mgombea urais wa vyama vinavyounda UKAWA Mh Edward Lowassa amesema akipata ridhaa ya wananchi ya kuwa rais wa awamu ya tano ataunda tume ya kushughulikia na kutoa haki kwa wananchi wakiwemo wa mkoa Katavi walioathiriwa na operesheni tokomeza na wanaoendelea kukumbwa na umaskini kutokana na migogoro ya ardhi.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname