17 August 2015

SAFARI YA EDWARD LOWASSA IMEKAMILISHWA NA MAPOKEZI HAYA ZANZIBAR...

Ukafika wakati wa Mgombea huyo Urais, Edward Lowassa kuongea na Wazanzibar.


Seif Sharif Hamad nae akihutubia kwenye Mkutan huo.



Khamis Mgeja akizungumza katika mkutano huo.



James Mbatia akiongea na watu wa Zanzibar kwenye Mkutano eneo laKibanda Maiti.

Safari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, kilele cha Safari hiyo ni Visiwani Zanzibar ambapo umefanyika Mkutano eneo la Kibanda Maiti.
Pichaz zote kutoka Unguja nimezipata mapema mapema mtu wangu, unaweza kuona kwenye hizi pichaz jinsi ambavyo Zanzibar imempokea Mgombea huyo pamoja na Timu ya Viongozi wa UKAWA.

.

.

.

.

.


No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname