09 July 2015

RATIBA KAMILI LIGI KUU YA UINGEREZA "EPL" 2015/16


Msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2015-2016 maaufu kama EPL unatarajia kuanza 
kutimua vumbi mwezi Agosti 8 mwaka huu kwa vilabu vyote 20 ambavyo vinashiriki ligi hiyo kukipiga kwenye siku ya kwanza ya ufunguzi wa ligi hiyo ambapo klabu ya Chelsea waliibuka mabingwa wa msimu uliopita wa 2014-2015.

Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016 

August 8
Bournemouth v Aston Villa
Arsenal v West Ham United
Chelsea v Swansea City

INGIA HAPA KUTAZAMA RATIBA KAMILI

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname