09 July 2015

DIAMOND, ZARI KIMENUKA MBAYA! DIAMOND AHAHA, ZARI AJUTA, MIMBA YAWA KIKWAZO, OMOTOLA ATAJWA!

Nasibu Abdul ‘Diamond akiwa na Zari.
OHOOO! Wakati penzi lao likitarajia matunda ya kupata kijacho miezi kadhaa ijayo, uhusiano wa Nasibu Abdul ‘Diamond na staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ umedaiwa kutibuka baada ya Diamond kufunguka kuwa anampenda mwigizaji wa Nigeria, Omotola Jalade Ekeinde, Amani linakupa mchapo.


Mkali wa Bongo fleva Nasibu Abdul ‘Diamond.Diamond aliitoa kauli hiyo hivi karibuni jijini Lagos alipokuwa akihojiwa redioni ambapo alipoulizwa ni wasanii gani maarufu anavutiwa nao kimapenzi, bila hiyana, mkali huyo kutoka Tandale-Dar, alisema ni Omotola, Tonto Dikeh na Genevieve Nnaji. 


BONYEZA HAPA KUJUA KISA CHOTE

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname